KISA CHA NABII ADAM 1.5 Apk
Rate saved, Thank!
4.5 (1 votes)
Description of KISA CHA NABII ADAM
KISA CHA NABII ADAM
Mawaidha ya kiislamu kuhusu kisa cha nabii Adam
Mawaidha yalitolewa na sheikh Othman Maalim.Mawaidha haya yanamuwezesha msikilizaji kujua historia ya Mwanadam kabla ya kuumbwa kwake.Mawaidha yanaelezea jinsi mwanadam alivyoumbwa.Mawaidha yanaelezea namna gani binaadam walivyoanza kutenda maovue.Mawadha ya kiswahili fasaha humuwezesha msikilizaji kujua karibia jitihada zote za İblisi katika kumpoteza na jinsi ya kuepukana na Jini hilo.Akiwa nabii wa kwanza,nabii adam anaelezewa jinsi alivyo Mkosea muumba wake(Mwenyezi Mungu),alivyoadhibiwa,alivyotubu na alivyosamehewa na Allah.